top of page

Wanasiasa Iran wachoma bendera ya marekani bungeni

  • Khalidi
  • May 9, 2018
  • 1 min read

Wanasiasa nchini iran wamechoma bendera ya marekani bungeni baada ya kauli ya Rais wa Marekani Donld trump kutangaza kuitoa Marekani katika mkataba wa kimataifa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, na kutangaza kurejesha vikwazo vikali vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo

Comments


Top Stories

Join our mailing list

Never miss an update

© 2017 Fahari News 

bottom of page