top of page

LOWASSA: RAIS MAGUFULI AMEIFANYA SIKU YANGU IWE NZURI

  • Khalidi
  • Jan 9, 2018
  • 1 min read

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaaafu Mh Edward Ngoyai Lowasa Ikulu Dar es salaam

Baada ya mazungumzo hayo Mh Lowasa amempongeza Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayofanya na ametaja baadhi ya maeneo ambayo kazi kubwa imefanyika, kuwa ni kutoa elimu bila malipo, ujenzi wa mradi wa uzalishaji wa umeme katika maporomoko ya mto Rufiji, ujenzi wa Vianda na ujenzi wa reli kwa kiwango cha kissa ambavyo vinazalisha ajira nyingi kwa watanzania

Comments


Top Stories

Join our mailing list

Never miss an update

© 2017 Fahari News 

bottom of page