top of page

Yanga yasajili Mkongo pekee.

  • Khalidi
  • Dec 17, 2017
  • 1 min read

Wakati Simba ikifunga dirisha dogo la usajili kwa usajili wa Kwesi kutoka Lipuli na mshambuliaji wa kutoka Msumbuji,Yanga wao wameongeza nguvu kwenye timu yao kwa kumwongeza beki kutoka Congo Kasembe (Fiston)

Comments


Top Stories

Join our mailing list

Never miss an update

© 2017 Fahari News 

bottom of page