top of page

Liberia yafanya uchaguzi wa marudio.

  • Writer: Admin
    Admin
  • Dec 26, 2017
  • 1 min read

Ikiwa kila mmoja wa wagombea wa Urais wa Liberia kushindwa kupata zaidi ya kura zinazoruhusiwa na katiba, Nchi hiyo leo iko kwenye uchaguzi wa marudio.

Mchezaji bora wa Afrika na Ulaya George Weah anapewa nafasi kubwa ya kumrithi Mama Saleaf kuwa rais wa Liberia.


 
 
 

Comments


Top Stories

Join our mailing list

Never miss an update

© 2017 Fahari News 

bottom of page